Thursday, November 22, 2012

lake nyasa, lake malawi ramani halisi

http://www.lib.utexas.edu/maps/imw/txu-oclc-6654394-sc-36-35-2nd-ed.jpg

Maongezi kati ya Kikwete na banda, record and type




Kikwete: Hello, Miss Banda, how are ?
Banda; Oh, I am very fine what about you Mr. Kikwete?
Kikwete: I actually, I am very fine,.. you look very nice today, are you still single. aha ha ha
Banda: Mr. Kikwete, your you look very nice, and you still have not stop joking around. ah ha ha.
Kikwete: Mss. Banda, you know, if you are happy, you mostly likely to live long, ... you need to be happy all the time..
Mss. Banda: that is true Mr. Kikwete. and i do appreciate that, my be we can have some drind afterwards
Mr. Kikwete: I would love to. that will wind me up for today, and then may be afterward, we can sit quitely for nice soft music.
Mss. Banda: If you insist Mr. Kikwete. we will do that.
Mr. Kikwete: You speak Swahili Mss Banda?
Mss Banda: Oh yes, actually, I can spead better swahill than you Mr. Kikwete! aha ha ha
Mr. Kikwete: are you joking me? or just want to pull my legs off!
Mss. Banda: No no no, I can speak swahili, this is true. if you want from now on lets speak swahili! and who ever win, taka it all?
Mr. Kikwete: no no. do not  thing that is wise bet Mss Banda, have a sit Ms Banda,

 

Mss. Banda, Thank you  Mr. Kikwete
Mr. Kikwete: you are mostly welcome, and most all you are welcome to Tanzania, it is peaceful country and we intend to keep it that way. so do not warry about Chadema, Cuf, or any other opposition parties, who are instigating our mutualy friendship. they are just envey I got the presidents, and they got nothing but talk about peoples power
Mss. I am not worry about them Mr. Kikwete. I am more worry about CCM taking our lake?
Mr. Kikwete: No no no no... please we are not kind people who grap others people land nad claiming it. we never did and we will never start it now, just believe me, I am on your side. 
Mss. Banda thank you Mr. Kikwete for that assurance. now I can sit at peace and easy that the no war between our country. 
Mr. Kikwete, Yes Mss Banda, I assure you. that. and I want you to know that I am commanda in cheif. the top boss of all bosses in this country,  when I tell people jump they ask me how long they should jump. this is kind a boss I am . i do not play around. Mss Banda
Mss. Banada. Now lets talk about the lake Mr. Kikwete, that is the main reason I can here, and I want us to finish this despute about lak Nyasa
Mr. Kikwete: Ok, lets do it, Mss Banda, what is your proposal
Mss. Banda, my proposal is very simple, the lake belong to us account to the treaty, now what is your proposal
Mr. Kikwete: No Mss. Banda, the lake nyasa belong to both of us, and it will be good I dea the boarder cross in the middle of the lake
Mss. Banda: No no no no... that is not a good Idea at all. because we have the documenet to prove the lake is ours, long way before Tanzania got its independence,look at this map here



Mss. Banda continure, " you see the map and boarder , and this map come from your musium." how can you change the facts Mr. Kikwete?
Mr. Kikwete: I am very astonished with this map, where did you get it Mss. Banda, this map looks like it was drown by chekechea children in classroom
Mss. Banda: No no Mr. Kikwete, this is true map, if you do not believe me, then get your expart to look into it, you will discover the red boarder is product of Heligoland treaty.
Mr. Kikwete: you know what Mss. Banda, i will do exactly that, check this map out. but mean time can we have a drind and soft music and forget about this lake ?
Mss. Banda Ok, if you insist Mr. Kikwete, let party!! and we will finish this talks later on
Mr. Kikwete : that is being a good girl. you women of the true africa, you understand how to care for men.
Mss: Banda: in my country opposition call me a bad girl. but I do not care, because I know I am  good girl, so let have a nice drink, and something to eat and then we will think what to afterwards. Ok Mr. president
Mr. Kikwete, Oh! yes lets do it. Mss. Banda, I was waiting for this moment all day long now time has come , the moment is here, why wait?

to continue..



After the Party
Mss, Banda produced another evidence. another map with tiny board lines, outside the lake.











  


more evidence the lake nyasa belong to Malawi











Madudu mengine Maliasili- vigogo wapora vitalu

Madudu hayo, yanatajwa kuwa pengine ni makubwa kuliko hata yale yaliyoifanya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Mazingira, ishauri Kamati hiyo ivunjwe kutokana na tuhuma za rushwa miongoni mwa wajumbe.

Wajumbe kadhaa wametumia mwanya wa kuugua kwa Mwenyekiti wa Kamati, Bakari Mbano, kufanya mchezo huo. Kamati hiyo iliketi kwa siku mbili - Novemba 16 na 17, mwaka huu jijini Dar es Salaam - na kutengua baadhi ya uamuzi wake wa awali wa ugawaji vitalu, na kwa mara ya kwanza, kundi la matajiri wa kigeni wenye fedha limeweza kupendekezwa kupewa vitalu vinono ambavyo viliambuliwa na kampuni chache za wazawa.

Habari za uhakika zinaonyesha kuwa kampuni zaidi ya 10 zilizopewa vitalu awali, zimenyang’anywa; kwa kile kilichoelezwa kuwa ni utekelezaji wa maagizo ya Bunge ya kutaka kampuni zisizo na sifa, lakini zikapewa vitalu, zinyang’anywe.

Kwa kutumia mwanya huo, Kamati ya Ugawaji Vitalu imerejesha baadhi ya vitalu vilivyopendekezwa, lakini ikaenda mbali zaidi na kuwanyang’anya masikini wazalendo ambao walipewa vitalu hivyo baada ya kutimiza matakwa ya kisheria yaliyosimamiwa kwa ukaguzi wa kila kampuni.

Madai ya uamuzi wa kuwanyang’anya wazawa vitalu, yamefanywa kwa misingi ya rushwa na yanatokana na ukweli kwamba wanachama wa TAHOA (Chama cha Wamiliki wa Kampuni za Uwindaji wa Kitalii), ambao wengi ni wageni, hawakuguswa kabisa.

Kwa namna inayoibua harufu ya rushwa, vitalu hivyo vimekabidhiwa kwa kampuni nyingine, tena za wageni, bila kufuata utaratibu wa kuvitangaza, hata kama kweli walionyang’anywa hawakuwa na sifa. Kisheria, Serikali inapotwaa vitalu inapaswa kuvitangaza ili wanaovitaka waweze kuomba.

Uamuzi wa Kamati hiyo ulifanywa chini ya uenyekiti wa muda wa Jaji mstaafu, Steven Ihema, kutokana na Mwenyekiti wa Kamati ya Ushauri wa Ugawaji Vitalu, Bakari Mbano, kuugua.

Wazawa kupokwa vitalu hivyo ni kutimia kwa kauli za majigambo za wageni hao walizoanza kuzitoa Desemba, mwaka jana, ukiwa ni muda mfupi baada ya kutangazwa kwa matokeo ya ugawaji vitalu.

Desemba 12, Waziri wa wakati huo, Ezekiel Maige, aliwaita wadau wote ofisini kwake Dar es Salaam na kuwataka wale waliopewa vitalu (vya Wazungu), waelewane kwa lengo la kumaliza migogoro.

Baadhi ya wageni hao walikuwa tayari kutoa hadi dola milioni moja (Sh zaidi ya bilioni 1.5) ili wazawa wawaachie vitalu walivyotaka. Maelekezo ya Waziri Maige yalipingwa na wadau, hatua iliyowafanya baadhi ya Wazungu hao, kwa ushirikiano na Watanzania kadhaa mawakala wao, watambe kuwa kama wamekataa fedha hizo, watahakikisha wanazitumia katika ngazi nyingine ili watwae vitalu walivyovitaka.

Endapo Waziri wa sasa wa Maliasili na Utalii atabariki mapendekezo ya Kamati ya Ugawaji Vitalu, atakuwa amekamilisha majigambo ya matajiri hao wa kigeni.

Uchunguzi wa MTANZANIA, umebaini baadhi ya kampuni zilizopewa vitalu hivyo ni za raia wa kigeni ambazo wakati wa uombaji zilijitanabahisha wazi kuwa ni za kigeni, lakini sasa zimebadili na kujitambulisha kuwa ni za Kitanzania. Mchezo huo umefanywa ili ziweze kupata vitalu na kukamilisha masharti ya kisheria yanayotaka asilimia 85 ya kampuni zinazopata vitalu, ama ziwe za Kitanzania, au wageni wawemo, lakini wakiwa na hisa chache.

Kampuni za wazalendo zimependekezwa kunyang’anywa vitalu ilhali ikiwa imesalia miezi mitatu tu zikabidhiwe umiliki wa miaka mitano. Endapo mpango huo wa kifisadi utatekelezwa, Serikali itaingia matatani kutokana na ukweli kwamba kampuni nyingi za Kitanzania zenye sifa zote kisheria zimeshapewa barua na Wizara ya Maliasili na Utalii kwa ajili ya shughuli za uwindaji wa kitalii.

Jaji Ihema, alipopigiwa simu jana kuzungumzia tuhuma hizo, alikataa kuingia kwenye undani wa suala hilo, kwa maelezo kwamba msemaji ni Mkurugenzi wa Idara ya Wanyamapori, Profesa Alexander Songorwa. Mkurugenzi huyo naye hakupatikana kupitia simu yake ya mkononi.

Mmoja wa wajumbe wa Kamati hiyo, akizungumza kwa masikitiko, alisema baadhi ya Watanzania wenye sifa wamenyang’anywa vitalu na kupewa Wazungu ambao tangu awali hawakutaka kabisa vitalu hivyo wapewe Watanzania. Maeneo manono yenye wanyamapori na yanayopendwa na wawindaji wengi, yakiwamo ya Maswa, yote sasa yanamilikiwa na kampuni za kigeni, zinazopata nguvu kutoka kwa baadhi ya mawakala wao Watanzania.

Habari za uhakika zinaonyesha kuwa mmoja wa Watanzania ambaye ni mwanasheria, amehakikisha mpango wake wa muda mrefu wa kujitwalia vitalu kutoka kwa Watanzania wenzake wenye uwezo, unafanikiwa. Kuna habari kwamba mpango huo umewezekana kutokana na nguvu za kifedha na kimamlaka kutoka kwa mmoja wa watoto wa viongozi waandamizi kabisa hapa nchini.

Kamati ya Ushauri wa Ugawaji Vitalu vya Uwindaji wa Kitalii, pamoja na kutuhumiwa kukumbwa na rushwa, imeendelea kuwapo, licha ya wito kutoka kwa wabunge na watu maarufu, akiwamo aliyekuwa Mbunge wa Kwela, Dk. Chrisant Mzindakaya.

Chanzo cha habari kimesema kwamba ugawaji vitalu uliofanywa wiki iliyopita uligubikwa na harufu ya rushwa, kutokana na ukweli kwamba Kamati hiyo inatambua wazi kuwa muda si mrefu itavunjwa.

“Walichoamua kukifanya baadhi ya wenzetu ni kuhakikisha kuwa wanapata pesa kutoka kwa wadau wa vitalu kwa sababu muda wao wa kuwa kwenye Kamati unahesabika,” kimesema chanzo chetu.

Chanzo hicho kimesema endapo mapendekezo hayo yatatekelezwa na Waziri wa Maliasili na Utalii, Balozi Khamis Kaghasheki, ni wazi kwamba atakuwa amebariki rushwa na uonevu unaofanywa na baadhi ya Watanzania kwa lengo la kuwapendelea Wazungu.

Kamati iliyovunjwa na Balozi Kagasheki, ilikuwa ikiongozwa na Bakari Mbano, ambaye amepata kuwa Mkurugenzi wa Idara ya Wanyamapori mwaka 1995-1998.

Kamati hiyo, pamoja na Mbano na Jaji Ihema, inaundwa na Dk. Simon Mduma (Mkurugenzi Mkuu TAWIRI), Edward Msyani (kwa niaba Mkuu wa Chuo cha MWEKA) na Saidi Nzori (Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali).

Wengine ni Allan Kijazi (Mkurugenzi Mkuu TANAPA), Obeid Mbangwa (Mkurugenzi wa Idara ya Wanyamapori –ambaye alifukuzwa kazi hivi karibuni), Mbunge wa Viti Maalumu Mary Mwanjelwa (CCM), Profesa Leticia Rutashobya (Mhadhiri Mwandamizi Chuo Kikuu cha Dar es Salaam), Daniel Nsanzugwanko (Naibu Waziri wa Kazi wa zamani), na Beno Malisa ambaye alikuwa Kaimu Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM).

Wakati wa ugawaji vitalu uliofanywa awali, mgawanyiko mkubwa uliibuka ndani ya Kamati kutokana na kila upande kuvutia kwake. Hatua hiyo ilitafsiriwa kuwa ilitokana na baadhi ya wajumbe kuhongwa na wenye kampuni za uwindaji wa kitalii.

Mei, mwaka huu, aliyekuwa Mbunge wa Kwela, Dk. Chrisant Mzindakaya, alizungumza na waandishi wa habari na kuishutumu Kamati ya Ushauri wa Ugawaji Vitalu, akisema ilikuwa imepoteza maana na akamshauri Waziri mpya wa Maliasili na Utalii, Balozi Kagasheki, aivunje haraka.

Alisema, “Baadhi ya wajumbe wa Kamati ya Bunge na ile ya Kumshauri Waziri kuhusu Ugawaji wa Vitalu walikwishatumbukia katika mtego na kutoa ahadi kwa kampuni hizo kuwa watalitumia Bunge kugawa vitalu upya na kwamba watasaidia idadi ya kampuni hizo kupanda mpaka asilimia 30 ya uwiano (kutoka asilimia 85 kwa wazawa dhidi ya asilimia 15 kwa wageni).

“Iliandikwa katika gazeti kwamba huko Dodoma baadhi ya wabunge walikarimiwa kwa njia ya semina na mwanasheria anayetumikia baadhi ya kampuni za kigeni. Wabunge hao, kwa mujibu wa taarifa hizo, wanadaiwa walipewa posho nono ya semina hiyo.

gazeti la Mtanzania- Wanajeshi kwa kuua raia





Banner

Gazeti la Mtanzania, la kiswahili http://mtanzania.co.tz/

gazeti la Mtanzania- Wanajeshi kwa kuua raia, soma habari zaidi kwenye mtanzani

JESHI la Polisi mkoani Mbeya, linawashikilia askari 10 wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) kwa tuhuma za mauaji. Askari hao kutoka Kikosi cha 44KJ Mbalizi pamoja na walinzi wanne wa kampuni binafsi ya ulinzi ambayo haikutajwa jina, wanadaiwa kuhusika na mauaji ya mtu mmoja na kujeruhi wengine kadhaa.

Lakini hadi jana majina ya askari hao, yamehifadhiwa kwa sababu za usalama.

Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake jana, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya, Diwani Athuman, aliwataja walinzi wanne wanaodaiwa kuhusika katika tukio hilo kuwa ni Frank Mtasimwa (25), Mure Julias (26), Omari Charles (28), wote wakazi wa DDC Mbalizi na Legnard Mwampete (30) mkazi wa Izumbwe.

Kamanda Diwani, alisema chanzo cha tukio hilo ni kulipiza kisasi kufuatia askari Godfrey Matete (30) Kikosi cha 44 Mbalizi, kupigwa na walinzi wa kilabu cha pombe za kienyeji cha DDC kilichopo Mbalizi, waliokuwa lindoni.

Alisema baada ya askari huyo kushambuliwa, alifungua kesi kituo cha Polisi Mbalizi usiku huo na kupata hati ya matibabu PF3 kwa ajili ya kwenda kupata matibabu hospitali.

Alisema baada ya Matata kujeruhiwa, siku iliyofuata watu wengine sita, walijeruhiwa kwa kupigwa sehemu mbalimbali za miili yao na watu wanaodaiwa kuwa ni askari wa JWTZ.

Alisema askari hao, wanatuhumiwa kwa mauaji ya Petro Sanga (25) mkulima na mkazi wa Chapakazi.

Alisema Sanga, alifariki dunia wakati akiendelea kupatiwa matibabu katika Hospitali Teule ya Ifisi, Wilaya ya Mbeya Vijijini.

Alisema marehemu alichomwa kisu shingoni na mdomoni na kikundi cha watu wanaosadikiwa kuwa ni askari jeshi.

Alisema kundi la wanajeshi, linadaiwa kuvamia baa ya Power Night Club na kuanza kushambulia wananchi kwa kuwapiga wakitumia ngumi, mateke, mikanda, marungu, sime na mapanga.

Alisema marehemu alijaribu kuokoa uhai wake kwa kukimbia kutoka eneo hilo hadi katika grosari ya Vavene, lakini watu hao walimkimbiza hadi eneo hilo na kumjeruhi vibaya kwa kumchoma kisu.

Kamanda Diwani, alisema kati majeruhi hao, watatu walilazwa katika Hospitali Teule ya Ifisi kwa matibabu zaidi, huku wengine wakipatiwa matibabu na kuruhusiwa.

Alizitaja mali zilizoharibika kuwa ni gari lenye namba za usajili T106 AWB aina ya Toyota Vista, mali ya Paulo Maximilian ambalo lilivunjwa kioo cha mbele na gari lenye namba za usajili T 884 AAU aina ya Toyota Cresta, mali ya Alile Godfrey.

Kamanda Diwani, alisema mwili wa marehemu Sanga tayari umefanyiwa uchunguzi na kukabidhiwa kwa ndugu kwa ajili ya taratibu za mazishi.


Cartech Tanzania



CarTech at Darautoguide.com

http://www.darautoguide.com/tanzania-used-cars-for-sale/mitsubishi-lancermx-e-186-.htm

japanese used cars in tanzania

japanese used cars in tanzania


yuasa car dealers in tanzania

 


yuasa car dealers in tanzania is number one used japanese cars sales
for more info visit the site, at
Yuasa Auto Impex (T) Limited

Email Address: Click to Email
Phone #: +255 22 277 3222
Fax #: +255 22 277 2222
Other Phone #: +255 765 566 777
Other Phone #: +255 768 666 622
Area: Dar Es Salaam

Website: Go to Website

mikopo ya magari tanzania

Add here 

mikopo ya magari Tanzania 

dar auto guide






find cheap cars for sale Tanzania used cars for sale in Tanzania



autorec Tanzania

Autorec is exporting Japanese used cars and Vehicles to all around the world .We sell Japanese cars to Africa such as Tanzania, Zambia, Uganda, Malawi,

 


Autorec Tanzania 
www.autorec.co.jp/used-cars_for_tanzania.html
Dar Auto Guide